JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA - OFISI YA WAZIRI MKUU - TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
   
karibu_tanga
 
 
 Muundo wa Kiutawala
 Kutuhusu & Anuani zetu
 Dira & Kauli Mbiu ya Mkoa
 Miradi & Programu
 Fedha & Bajeti - Taarifa
 Nyaraka Mbalimbali
  Mipango
 Kilimo na Mifugo
 Takwimu
 Maliasili, Uvuvi na Utalii
 Elimu
 Afya
 Maji
 Ushirika
 Biashara
 Barabara na Majengo
 Ardhi, Upimaji & Ramani
 Jamii, Jinsia & Watoto
 Serikali za Mitaa
 Sheria
 Teknohama (ICT)
     
     
 
Mkoa wa Tanga uko Kaskazini Mashariki mwa Tanzania na una eneo la kilometa za mraba 27,348. Ambazo zimegawanywa katika wilaya nane za Tanga, Muheza, Pangani, Korogwe, Lushoto, Handeni, Kilindi na Mkinga. Hali ya hewa katika mkoa wa Tanga kwa ujumla ni ya joto ukiondoa eneo la milima ya Usambara ambalo linakuwa na hali ya baridi kwa kipindi kirefu.
     
 
Mkinga. Hali ya hewa katika mkoa wa Tanga kwa ujumla ni ya joto ukiondoa eneo la milima ya Usambara ambalo linakuwa............................... BONYEZA HAPA >>
 
     
     
 

 

    UZINDUZI WA TOVUTI ZA MIKOA TANZANIA BARA  
   
 
 
Tovuti ya SEKRETARIETI ya Mkoa wa Tanga imezinduliwa rasmi na Waziri Mkuu Mhe. MIZENGO K. P. PINDA (MB) tarehe 19 Februari 2009. Uzinduzi wa tovuti hii pamoja na Tovuti za Mikoa yote Tanzania Bara Kitaifa umefanyika Mkoani Kilimanjaro. Tovuti za kila mkoa zinapatikana kwa anwani hii www.jinalamkoa.go.tz mfano tovuti ya mkoa wa manyara inapatikana kwa anwani www.manyara.go.tz
WAZIRI MKUU
 
       
 
 
Hatua hii imekuja baada ya serikali kuamua kuboresha utendaji wake kwa kutumia Teknolojia ya Habari na Mawasiliano yaani Serikali Mtandao (eGovernment ) kama nyenzo. ili kuwezesha wananchi wengi kupata taarifa za utendaji wa serikali mara wanapozihitaji.
 
Dhana ya upatikanaji habari na taarifa ni pana. Haki ya kutafuta, kupokea na kusambaza habari ni haki ya msingi kwa binadamu wote. Katika swala zima la uwajibikaji wa Serikali kwa wananchi na upatikanaji wa taarifa dhana hii iko kikatiba (Ibara ya 18(2)).
 
 
 
     
 
     
  Hotuba ya Waziri Mkuu wakati wakuzindua Tovuti za Mikoa  
  .......................................................................  
  Taarifa ya Matokeo ya mitihani ya Darasa la Saba mwaka 2008  
  ......................................................................  
  Matokeo ya mitihani kidato cha nne 2008  
  ......................................................................  
  Kikao cha Ushauri cha Mkoa (RCC) Desemba 18, 2008  
 
......................................................................
 
  Ukaguzi wa Miradi ya Maendeleo ya Mkoani Tanga  
  ......................................................................  
  Ziara ya Mh. Rais Jakaya Kikwete Mkoani Tanga 2008  
  ......................................................................  
  Kilele cha mbio za Mwenge kufanyika Tanga Oktoba 2008  
     
  ......................................................................  
  HOTUBA ZA MKUU WA MKOA  
  ......................................................................  
  Hotuba za Mkuu wa Mkoa  
  ......................................................................  
  Hotuba za Katibu Tawala (M)  
     
     
 
 
       
   
    ........................................................  
  Fursa za uwekezaji & Vivutio  
    ......................................................  
  Mashirika, Taasisi & NGO's  
    ......................................................  
  Mahoteli & Nyumba za kulala wageni  
    ......................................................  
  Hospitali, Vituo vya afya na zahanati  
    ......................................................  
  Utaliii  
    ......................................................  
    Taarifa za Mkaguzi  
    ......................................................  
  Nafasi za Kazi / Zabuni  
    ........................................................  
  Tovuti nyingine muhimu  
    ......................................................  
  KAMATI YA BUNGE YA HESABU (LAAC) YAMALIZA ZIARA  
     
 
Kamati ya bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa imemaliza kupitia taarifa za Mapato na Matumizi ya Fedha za Halmashauri za Mkoa wa Tanga iliyofanyika Wilayani Lushoto tarehe 20 -21 mwezi Oktaba, 2009
 
  ...........................................................................................................  
  Bonyeza hapa kusoma habari zaidi  
     
 
 
  TANGA KUNUFAIKA NA MRADI WA RAIS G. BUSH  
     
 
Tanga ni moja ya Mikoa ambayo itanufaika na Mfuko wa Changamoto za Millenia (Milleium Challenge Account). Mfuko huu ulinzishwa na Rais wa Marekeani.
 
  ...........................................................................................................  
  Bonyeza hapa kusoma habari zaidi  
     
 
VIVUTIO MKOANI TANGA  
Pangani
 
 
 
ENEO BINAFSI
Web Mail
Daftari la Wageni /Maoni
Online Training / class
Mafaili na Ujumbe
Mijadala
 
 
     
 
 
 
 
   

Matukio Yajayo :

 
       
Ukaguzi wa Pamoja wa Halmashauri na Mikoa Machi 1, 2009
     
Sherehe za Kuuaga mwaka 2008 Januari 2009
     
Kikao cha kwanza cha RCC Desemba 08, 2008
     
Mkutano wa ALAT mkoa Desemba 04, 2008
   
  ............................................................................................................
 
Kwa matukio yajayo zaidi Bonyeza hapa kusoma zaidi
 
       
 
Ramani ya Mkoa
     
     
Copyright © 2008 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Box 5095 Tanga, TEL: 027 - 2642430, FAX: 027-2647752