Mkoa una jumla ya barabara zenye urefu wa km 5,623 ambazo ziko chini ya Wakala wa barabara yaani TANROADS na Halmashauri.
TANROADS inahudumia barabara Kuu na za Mkoa zenye jumla ya urefu wa Km 1,528. ambazo zimegawanyika kama ifuatavyo:
- Barabara kuu za lami zina urefu wa Km. 268
- Barabara kuu za changarawe zina urefu wa Km. 58
- Barabara za Mkoa za lami Km. 38
- Barabara za Mkoa zisizo za lami Km. 1,093
|