Mkoa wa Tanga una Shule za Sekondari za Kutwa zipatazo 184 hadi kufikia Novemba 2008, Shule hizi zina uwezo wa kuchukua Jumla ya wanafunzi 26,503 wakiwemo wavulana 13,582 na wasichana 12,921 ambao wataingia Kidato cha Kwanza mwaka 2009 katika shule za sekondari za kutwa zilizomo mkoani
Hadi kufikia tarehe 23 Desemba Mkoa wa Tanga una shule za sekondari za Kutwa 193, Shule 8 zimepata Usajili Desemba 2008 shule hizo ni:- Kang’ata, Kiva, Komsanga, Konje, Msanje, Pangamlima na Sindeni za Wilaya ya Handeni na Mkomazi ya Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe
Idadi ya wanafunzi watakaoingia Kidato cha Kwanza mwaka 2009 kwa uchaguzi huu wa awamu ya kwanza ni kama ifuatavyo |