JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA - OFISI YA WAZIRI MKUU - TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA      
tanga
 
     
HANDENI
 
 
WILAYA YA HANDENI
 
[ Nyumbani ] au
 
[ MKUU WA WILAYA ] [ WABUNGE ] HALMASHAURI YA WILAYA YA HANDENI [IDARA & TAASISI ] [ KATA & VIJIJI ]
 
UTAWALA UTUMISHI FEDHA BIASHARA ELIMU MAFUNZO YA UFUNDI VIJANA UTAMADUNI
KILIMO MIFUGO USHIRIKA UJENZI ARDHI USTAWI WA JAMII MIPANGO URATIBU
TAKWIMU AFYA MAJI MALIASILI MICHEZO MAENDELEO YA JAMII MAZINGIRA
...............................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................
 
UTANGULIZI
 

Wilaya ya Handeni ni miongoni mwa wilaya nane zinazounda Mkoa wa Tanga ambayo iko magharibi, umbali wa kilomita 187 kutoka makao makuu ya Mkoa.

Wilaya hii ina ukubwa wa kilomita za mraba 7,080 na iko kwenye mwinuko wa mita 200 hadi 800 kutoka usawa wa bahari. Eneo linalofaa kwa kilimo cha mazao mchanganyiko ni hekta 340,470 na kati ya hizo kiasi cha hekta 102,144 ndizo zinazotumika. Kwa upande wa kilimo cha umwagiliaji kuna kiasi cha hekta 3,600 na zinazotumika ni hekta 50 tu.  Pia Wilaya inalo eneo la hekta 367,530 linalotumika kwa malisho ya mifugo. Eneo linalobaki ni kwa ajili ya misitu na hifadhi ya wanyamapori ya Gendagenda na Gole

 
UCHUMI WA WILAYA
 

Hali ya uchumi wa wilaya siyo wa kuridhisha bali ni ule unaoendelea ambapo asilimia 90 ya wananchi wake wanategemea kilimo cha msimu katika mashamba madogo madogo kwa ajili ya kujikimu kimaisha. Ili kufikia malengo ya Mkakati wa kukuza Uchumi na Kuondoa Umaskini Tanzania (MKUKUTA) na utekelezaji wa Dira ya Maendeleo ya Taifa ya mwaka 2025, wilaya imeweka mikakati ya kuhakikisha kuwa uzalishaji wa mazao ya chakula na biashara unaongezeka kwa kila kaya, lengo likiwa kukifanya kilimo kiwe cha kisasa zaidi na chenye tija

 
Maeneo ya kiutawala
Wilaya ina jumla ya Tarafa saba (7), kata 19, vijiji 112 na kaya 52,240
 
 
Tarafa Kata Vijiji Idadi ya Kaya Idadi ya Watu 2002

Mkumburu

Segera

Jitengeni, Mandera, Masatu, Maili Kumi, Chang'ombe, Segera, Michungwani   14,948         
  Kwedizinga

Kwedizinga, Ugweno, Bondo, Ngojoro, Kwamgwe, Kwadoya, Kwaraguru Estate , Taula

  11,428          
  Ndolwa Kwamnele, Chanika, Kofi, Mzundu, Komkole, Luive, Kwamenda, Komdudu   16,070         
         
Mazingira Mazingira Suwa, Amani, Mazingara   11,810         
  and Mkata

Kwengahu, Kitumbi, Kwenkwale, Mkata Magharibi, Mkata Mashariki, Manga

  21,425         
         
Chanika Chanika

Kwediyamba, Kwenjugo Magharibi, Malezi, Kwenjugo Mashariki, Kilimilang'ombe, Kwedizando, Kwenkambala, Mdoe, Kwamngumi, Kivesa

 

29,570    

  Vibaoni Konje, Kwabaya, Kwamsaka, Msasa, Kideleko, Bangu  

18,707      

 

 

 

   
Mzundu Kabuku Kwedibago, Kabuku Nje, Kabuku Kaskazini, Msilwa, Kwedikwazu Magharibi, Kwedikwazu Mashariki  

  9,883         

  Mgambo

Kabuku Mjini, Kabuku Ndani, Majani Mapana, Komsanga, Kwabojo, Gendagenda, Kwedihwahwala, Chogo

 

11,391      

  Komkonga

Mumbwi, Tuliani, Kwamachalima, Komkonga,
Hoza

 

13,590     

         
         

Sindeni

Sindeni,

Kwafungo, Kwamkono, Mbuyuni, Kweisasu, Sindeni, Bongi

 

13,706       

  Kwamatuku

Nkale, Kwamatuku, Kweingoma, Komsala

 

  6,922   

  Misima Msomera, Mzeri, Vibaya, Misima, Mbagwi  

13,292   

  Kiva kweditibile, Zaruza, Kwedibangala   6,807         
         
         

Kwamsisi

Kwamsisi

Pozo, Kwamsisi, Kwedikabu, Mkalamo

  8,757         
  Kwasunga Kwamdugwa, Kwamyanje, Kwasunga  

  5,487       

  Kwaluguru Magamba, Muungano "B", Kwamagore, Kibindu  

10,769      

         

Magamba

Kang’ata

Kwaluwala, Msaje, Madebe, Nyasa, Gole, Kilimamzinga, Kang'ata

    8,682         
  Kwamkoje Kwamkunga, Kwamsangazi, Nkumba, Kwamsundi, Kwanyaje, Mbaragwe, Kwamchaga/ Tuliani   16,019         
7
19
JUMLA   248,633
 
Idadi ya watu
Kulingana na sensa ya watu na makazi ya mwaka 2002, kulikuwa na idadi ya watu 248,633 ambapo hadi kufikia 2008 idadi ya watu imeongezeka na kufikia 311,149.  
 
 
 
 
 
         
[ Nyumbani ] au
Rudi juu
 
     
Copyright © 2008 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Box 5095 Tanga, TEL: 027 - 2642430, FAX: 027-2647752