JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA - OFISI YA WAZIRI MKUU - TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA      
tanga
 
     
KILINDI
 
 
WILAYA YA KILINDI
 
[ Nyumbani ] au
 
[ MKUU WA WILAYA ] [ WABUNGE ] HALMASHAURI YA WILAYA YA MUHEZA [IDARA & TAASISI ] [ KATA & VIJIJI ]
 
UTAWALA UTUMISHI FEDHA BIASHARA ELIMU MAFUNZO YA UFUNDI VIJANA UTAMADUNI
KILIMO MIFUGO USHIRIKA UJENZI ARDHI USTAWI WA JAMII MIPANGO URATIBU
TAKWIMU AFYA MAJI MALIASILI MICHEZO MAENDELEO YA JAMII MAZINGIRA
...............................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................
 
UTANGULIZI
Wilaya ya Muheza ni moja ya Wilaya nane za Mkoa wa Tanga iko upande wa Kaskazini Mashariki mwa Tanzania. Wialaya ina jumla la eneo la kilometa za mraba 1,974 na inakadiriwa kuwa na watu 184,585 mwaka 2007. Wilaya inapatikana magharibi na kusini mwa Jiji la Tanga na imepakana na Mkinga upande wa Kaskazini, Pangani upande wa kusini na korogwe upande wa Magharibi.
 
UCHUMI WA WILAYA
 
 
 
Eneo
Wilaya ina eneo lipatalo kilometa za mraba 1974. Hii ni sawa na watu 85 kwa kila kilometa ya mraba. Wilaya ina jumla ya Tarafa nne (4), kata 23, vijiji 100 na vitongoji 510
 
 
Tarafa Kata Vijiji Idadi ya Kaya Idadi ya Watu 2007

Amani

Kisiwani

(7)

Mlesa, Mkwinini, Msasa, Kisiwani, Mashewa, Shebomeza, Kwemdimu

   
  Misalai

Misalai, Marvera, Mbomole, Kwemwewe, Mgambo, Kazita, Sakale

   
  Zirai

Zirai, Kambai, Kwezitu, Kizerui

   
         

Bwembwera

Mkumba

Kiwanda, Tongwe, Bombani, Kigumba, Ubembe, Kiwanjani
Nkumba na Kibanda

   
  Songa

Songa Batini, Mkulumilo, Kilongo, Bwitini, Mhamba, Kwakibuyu

   
  Bwembwera

Msowelo, Bwembera, Mamboleo
Mianga

   
  Kwafungo

Makole, Bagamoyo, Kwafungo, Mbambara, Mandera, Songa, Kibaoni, Pangamlima

   
  Potwe

Potwe Ndondondo, Kimbo, Zeneti
Mpirani

   

Ngomeni

Pande

Kibaoni, Darajani, Mlingano

   
  Lusanga      
  Kigombe

Msakangoto na Kigombe Magharibi

   
  Ngomeni

Mkanyageni, Ngomeni, Kigongomawe

   
  Misozwe      
  Kicheba Paramba, Kwelubuye, Kicheba    
         

Muheza

Tingeni

Tingeni, Mkinga, Mpaka, Kwakifua
Mpakani, Ngarani

   
  Magoroto

Gare, Mwembeni, Mgambo, Magula

   
  Mkuzi      
  Mtindiro      
  Kilulu      
  Magila

Magila, Mafuleta, Misongeni, Mikwamba

   
  Majengo

Genge, Michungwani, Mdote,
Majengo Nje, Majengo Kati,
Shauri Moyo, Majengo Ndani

   
 
Idadi ya watu
Sensa ya watu na makazi ya mwaka 2002 wilaya ilikuwa na idadi ya watu wapatao 171,568 ambapo wanawake walikuwa 86,151 sawa na asilimia 50.1 na wanaume walikuwa 85,417 sawa na asilimia 49.9.
 
 
 
 
 
 
 
         
[ Nyumbani ] au
Rudi juu
 
     
Copyright © 2008 - Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Box 5095 Tanga, TEL: 027 - 2642430, FAX: 027-2647752