• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua pepe |
Tanga Region
Tanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Tanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
  • Huduma
    • Huduma za Afya
    • Huduma za maji
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Mipango na Uratibu
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Afya
      • Maji
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Usimamizi wa Serikali za Mitaa
    • Vitengo
      • TEHAMA
      • Fedha na Uhasibu
      • Ukaguzi wa ndani
      • Manunuzi
      • Sheria
  • Machapisho
    • Taratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
    • Hotuba
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Sehemu ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Wilaya Pangani
    • Halmashauri ya Wilaya Mkinga
    • Halmashauri ya Wilaya Muheza
    • Halmashauri ya Jiji Tanga
    • Halmashauri ya Wilaya Korogwe
    • Halmashauri ya Mji Korogwe
    • Halmashauri ya Wilaya Handeni
    • Halmashauri ya Mji Handeni
    • Halmashauri ya Wilaya Kilindi
    • Halmashauri ya Wilaya Lushoto

KIONGOZI WA MWENGE AWAASA WAZAZI, WALEZI KUWASIMAMIA WATOTO KUPATA ELIMU

Imewekwa tarehe: June 16th, 2025

Na Mashaka Mgeta, OMM TANGA

WAZAZI na walezi wametakiwa kutumia fursa ya ujenzi wa miundombinu kwenye sekta ya elimu nchini, kuwahimiza watoto na kuwawezesha watoto Kwenda shule, ili wapate maarifa za stadi za kuwasaidia kwa maisha yao ya baadaye.

Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru 2025, Ismail Ali Ussu, ameyasema hayo leo jijini, baada ya kukagua mradi wa ujenzi wa madarasa 12 na ofisi kwenye Shule ya Msingi Mbuyuni.

Maradarasa hayo yanajengwa kwa muundo wa ghorofa, ili kutumia eneo dogo lililopo kwa matumizi ya miuondombinu mingi zaidi katika uboreshaji wa elimu.

Ussi amesema Serikali ya Mhe Rais Dkt Samia, imefanikiwa kwa kiasi kikubwa kujenga miundombinu, uboreshaji huduma na mazingira kwa watumishi wa umma wakiwemo wa sekta ya elimu kama walimu, hivyo ni vema wazazi na walezi wakahakikisha hakuna mtoto anayeshindwa kujiunga, kuendelea na kuhitimu masomo yake.

Taarifa ya Halmashauri ya Jiji la Tanga imeeleza kuwa Shilingi bilioni 5,809,346,807.35 zimetolewa kutoka kwenye mapato ya ndani, ili kutekeleza miradi 84 ya maendeleo ikiwemo mradi wa ujenzi wa vyumba vinne vya madarasa ya ghorofa, ofisi moja ya walimu na matundu 13 ya vyoo katika Shule ya Msingi Mbuyuni unaogharimu Shilingi milioni 388.8.

“Ujenzi wa madarasa ya ghorofa sio tu utaondoa changamoto ya upungufu madarasa uliosababishwa na ufinyu wa eneo, bali pia utaboresha mazingira ya kujifunzia na kufundishia,” imesema taarifa ya mradi huo kwa Kiongozi wa Mwenge 2025,

Imeelezwa kuwa, awali shule hiyo ilikabiriwa na changamoto ya upungufu wa vyumba vya madarasa, na hii ni kutokana na ufinyu wa eneo ambapo ujenzi wa madarasa ya chini ilikuwa ni changamoto kubwa.


Matangazo

  • TANGA REGION INVESTMENT GUIDE November 24, 2023
  • SENSA YA WATU NA MAKAZI MWAKA 2022 MKOA WA TANGA June 13, 2023
  • Angalia zote

Habari mpya

  • WAANDISHI DODOMA WAVUTIWA NA MAENDELEO YA TANGA, WAALIKWA KUFANYA ZIARA

    July 17, 2025
  • RC BATILDA:ONGEZEKO LA WATU TANGA ISHARA YA UBORA WA HUDUMA ZA FYA, USTAWI WA JAMII

    July 17, 2025
  • TANGA TUNA UTOSHELEZI WA CHAKULA - BALOZI BATILDA

    July 17, 2025
  • BALOZI BATILDA ASEMA TANGA INA HIFADHI YA LITA ZA UJAZO MILIONI 210 ZA MAFUTA

    July 17, 2025
  • Angalia zote

Video

KATIBU TAWALA MKOA WA TANGA AKIONGOZA WATUMISHI WA MKOA HUO KUFANYA MAZOEZI YA PAMOJA KATIKA UWANJA WA MKWAKWANI KUITIKIA WITO WA MHE. MAKAMU WA RAIS
Video zaidi

Viunganishi vya haraka

Tovuti zinazoendana

  • TAMISEMI
  • Kupata huduma za kiutumishi
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA)
  • Tovuti ya Serikali

Kifuatilia watazamaji duniani

world map hits counter

idadi ya watazamaji

free HitCounter

Ramani ya Mkoa wa Tanga

Wasiliana nasi

    Golf Area/Masiwani Road Tanga

    Anuani ya posta: P.O.Box 5095 Tanga

    Simu: 027 2642421

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ras.tanga@tamisemi.go.tz

Anuani zingine

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Maswali na Majibu
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Haki miliki ©2017 Katibu Tawala Mkoa wa Tanga . Haki zote zimehifadhiwa.